jaridahuru

Mitandao

EVENT: ANGALIA MAMBO YALIVYOKUWA KATIKA TAMASHA LA "NYAMACHOMA FESTIVAL" TAR 07/06/2014


 Wadau ndani ya Tamasha la Nyama Choma,toka kulia ni Dimo Dibwe,Carol Ndossi (Muandaaji wa Tamasha hilo la Nyama Choma) pamoja na Mdau Edwin MacTemba.
 Wadau wakibadilishana Mawazo ndani ya Tamasha la Nyama choma.
 Nyama ikiendelea kuiva jikoni huku walaji wakiendelea kuimezea Mate. 
 Mtaalam wa kuchoma nyama toka jamii ya Kimasai akitest mzigo kama uko poa.
 Wadau wakiendele kutafuna nyama huku zingine zikiendelea kuiva taratibu.
 Maandalizi ya Nyama yakiendelea.
 Mshkaki maridadi kabisa.
 Mbuzi mwanana kabisa kaning'inizwa.





 Wadau mbali mbali wakiwa ndani ya Tamasha hilo la Nyama Choma. 
 Mapacha watatu wakizikonga vyema kabisa nyoyo za mashabiki wao waliofurika kwa wingi kwenye Tamasha hilo la Nyama Choma.

 Mie na Mdau Pascal Mabagala
 Wadau. 
 Mwanalizombe asilia,Prof. Jay na wadau.
kazi ikiendelea. 

Related

Events 624246343715607408

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item