jaridahuru

Mitandao

BURUDANI: CHIDI BENZ ANUSURIKA KIPIGO NA MASHABIKI AKIPERFORM CLUB MAISHA DODOMA, WADAI ANAUCHIZI


Msanii wa hiphop nchini Chidi Benz alinusurika kupigwa na mashabiki wake mjini Dodoma alipokuwa akifanya show New Maisha Club.

Kitendo hicho kilikuja baada ya msanii huyo kutoa Bangi mfukoni mwake na kuiwasha ili avute ndopo mashabiki walipopiga kulele za kuashiria ni utovu wa nidhamu kwani hata Jamhuri hairusu kitendo hicho.

Hata hivyo Baunsa wa maisha club aliwahi kumpokonya bangi hiyo kabla haijasababisha kero zaidi. Baadhi ya mashabiki waliokuwa humo ndani walisikika wakimuita "CHIZI BEZ" wakiashiria kuwa ni mgonjwa wa akili na baadhi walipiga makelele "Wa Mirembe huyo!!"

Kitendo hicho kimemshushia hadhi msanii huyo wa Ilala na kumfanya aonekane kama msanii asiyekuwa na mipaka ya kimaadili.

Related

Habari Mpya 7810229589501367735

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za JuuMitandaoPiga Kura

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item