jaridahuru

Mitandao

VYUONI: WANAFUNZI WA DIPLOMASIA WAHUDHURIA KIKAO CHA BUNGE LEO TAR 28 MAY.

Wanafunzi wa vyuo vikuu wanaochukua maswala ya Diplomasia, leo wamehudhuria kikao cha bunge la bajeti Mkoani Dodoma ikiwa ni siku ya wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi.

Wanafunzi hao waliotoka katika vyuo vya Da es salaam na Mzumbe pia walipata nafasi ya kupiga picha na baadhi ya mawaziri akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje Mhe. Benard Membe ambae pia anapewa nafasi ya kugombea urais mwaka 2015.








Related

Vyuoni 8618114696559334287

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item