jaridahuru

Mitandao

MASANJA ; ‘Mungu wangu ni mzuri, asante Mungu kwa kunipendelea… usafiri huu kwangu ni muujiza’

Gari analomiliki na Nyumba Msanii Masanja

Masanja Akiwa katika moja ya kazi zake

Msanii wa ORIJINO KOMEDI Masanja Mkandamizaji, amekuwa midomoni mwa watu baada ya kununua gari na kuliandika maneno ‘Mungu wangu ni mzuri, asante Mungu kwa kunipendelea… usafiri huu kwangu ni muujiza’ kwani wengi walijua hilo sio jambo geni kwake.

Msanii huyo ambaye kwa sasa ana jina jipya  la "Mchungaji" ameonesha kufurahishwa sana kwa kupata gari hilo. Hata hivyo ni jukumu la kila mtu kumshukuru Mungu kwa kile kidogo anachombariki kama alivyo fanya Masanja Mkandamizaji.

Related

ent 838219603998790911

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item