jaridahuru

Mitandao

KIBANDAMAITI: Hatimaye UKAWA waungurumisha Zanzibar.

Wananchi katika mkutano wa UKAWA kibandamaiti Zanzibar


Pamoja na kuwekewa vikwazo mara mbili na jeshi la polisi kuhusu kufanya mikutano ya hadhara Zanzibar, hatimaye Umoja wa Katiba ya Wananchi wafanya mkutano kibandamaiti zanzibar.

Umoja huo unaowashirikisha viongozi kutoka katika vyama vitano vya siasa vikiwemo CHADEMA na CUF wamefanya mkutano huo amabao umeonekana kuteka hisia za wananchi wengi wa Zanzibar. Viongozi hao, kila mmoja kwa nafasi yake alipata muda wa kuhutubia huku kusudi lao kuu likiwa ni kudai katiba ya wananchi.

Related

Siasa 6098238578846315922

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item