jaridahuru

Mitandao

BURUDANI: USUPASTAA KWELI KAZI!! CHEKI KIVAZI CHA LULU KILICHOZUA GUMZO MTANDAONI



Hakuna anaebisha kuwa mrembo na mwigizaji wa filamu Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ni moja kati ya mastaa wanaokwenda na fasheni na huwa hakosei kwenye hili, yaani huwa yupo “on point”.
Lakini linapokuja swala la maadili na utamaduni wetu hapa watu ndio huwa hutofautiana juu ya mavazi wanaoyovaa dada zetu siku hizi. 



Picha za  mwanadada Lulu akiwa amevalia kivazi ambacho kwa kiasi kikubwa kimemuacha miguu yake wazi zilisambaa kwa kasi sana mtandao hapo jana, hii ni kutokana na watu wengi kuzi LIKE na ku-SHARE.
Kama kawaida yetu wa bantu, japokuwa  wengi walitupia COMMENTS za kumsifia wengine pia waliponda uvaaji wa kanguo hako, na wengine kuanza kumtio kasoro, mbali na yeye mwenye Lulu kuandika mamaneno haya kwenye moja kati ya picha hizo. 



“Sema nini.....tumiguu twangu tumenyooka hatuna kona...chaiiiii.. Na tumatege flani amaizing …Usinipanikie Mimi Lakini”by Lulu.

Kwa mtazamo wangu kwanza kabisa ni ukweli Lulu DIVA waukweli hapa mjini, sasa hilo swala la mavazi gani ndio ya maadili nawaachia nyie, mnalionaje hapa
Jionee picha hizo akiwa na kavazi hako hapo juu 


Related

Habari Mpya 3218855180906109198

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item