jaridahuru

Mitandao

WC 2014: LUIS SUAREZ AKIRI KUMLA NYAMA CHIELLINI, AMUOMBA RADHI, AAHIDI KUTORUDIA KITENDO KAMA HICHO TENA

Luis Suarez amuomba radhi Chiellini 
Katika taarifa yake kwenye twitter amesema hivi:
Baada ya siku kadhaa za kuwa nyumbani na familia yangu, nimekuwa na muda wa kutulia na kutafakari kuhusu hasa kilichotokea wakati wa mchezo kati ya Italy na Uruguay Juni 24 2014.
Mbali na taarifa na zilizozagaa katika siku chache zilizopita, ambazo nyingi zimekuwa hazina nia ya kutatiza uwezo mzuri wa timu yangu ya taifa, ukweli ni kuwa, mwenzangu Giorgio Chiellini aliumia kutokana na mimi kumng'ata kutokana na kugongana na mimi. Kwa hilo:

*Nasikitika sana kwa kilichotokea.
*Ninamuomba rahi Giorgio Chiellini na familia yote ya wanasoka
*Naahidi watu wote kuwa hakutakuwa na tukio kama hili tena

Related

Worldcup 2014 4967779861779698504

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item