jaridahuru

Mitandao

JAMII: RIDHIWANI ARUKA FUTI 100 TUHUMA ZA KUUZA MADAWA YA KULEVYA NA KUMILIKI MABASI YA UDA

5_1

Mbunge wa Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ridhiwani Kikwete amekana kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kuwa miongoni mwa watu ambao wanamiliki mabasi ya UDA.
 
Ridhiwani amekana hayo leo kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV katika kipengele cha Kikaangoni Live kinachofanyika kila siku ya Jumatano kupitia ukurasa huo.
 
Ridhiwani alisema kuwa anasikitishwa na kuumizwa na watu wanaofanya biashara ya madawa ya kulevya kwa kuwa yamekuwa yakiathiri vijana kwa namna mbalimbali na pia alikana kuhusika na biashara ya mafuta na gesi pamoja na kumiliki kampuni ya mabasi inayomiliki mabasi ya UDA.

Related

Jamii 17249942829116150

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item