jaridahuru

Mitandao

JAMII: NJEMBA YAPOKEA KIPIGO KIKALI KWA KUFUTURU KABLA YA MUDA HUKO DAR ES SALAAM




JAMAA mmoja amejikuta katika wakati mgumu baada ya kushushiwa kipigo cha mbwa mwitu alipokutwa anakula kabla ya muda wa futuru hku akiwadanganya wenzake kuwa amefunga.

Tukio hilo la aina yake lilitokea Jana majira ya saa 8 mchana katika maeneo ya Malapa Jijini Dar es salaam.

Shuhuda wa tukio hilo wanasema kuwa watu walianza kumvamia jamaa huyo kwa maneno makali ya kuikashifu dini yao na baadae kumshushia kipigo wakidai kuwa ni sawa na kafiri kwa kujifanya amefunga kumbe anakula mchana.

Katika tukio lingine huko Sherifu shamba jijini dar es salaam, Jamaa mmoja ameshushiwa kipigo na wamiliki wa hosteli za Datastar baada ya kukutwa akiwa chumbani katika hosteli ya wasichana ya chuo hicho.

Mtu huyo ambae alionekana kibaka, alipokea kichapo kikali na kisha kutolewa  nje na kufikishwa katika kituo cha polisi akidaiwa kuwatishia maisha wanafunzi wanaokaa katika hosteli hiyo.

Related

Jamii 21816699823900760

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item