jaridahuru

Mitandao

WC 2014: SUAREZ AMLA NYAMA MCHEZAJI WA ITALIA, AMNG'ATA HADHARANI, ICHEKI HAPA KATIKA VIDEO NA PICHA


Sequence of events: Footage of the clash (above) appeared to show Uruguay's Luis Suarez leaning in to bite the shoulder of Italian defender Giorgio Chiellini during a crucial World Cup clash in Natal, Brazil

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uruguay, Luiz Suarez, amerudia tena kitendo alichokifanya takribani miezi 14 iliyopita alichoomba msamaha na kuweka katika uangalizi maalumu na bodi ya nidhamu ya FIFA.

Alirudia tena kitendo hicho katika mechi baina ya Urugua na Italia baada ya kumuuma begani beki wa timu hiyo Giorgio Chiellini. Iwapo itabainika kuwa amelitenda hilo kosa na kukiuka maagizo ya kinidhamu, Suare anaweza kuzuiliwa kucheza mechi 24 au miaka miwili


ANGALIA VIDEO HIYO HAPA


Related

Worldcup 2014 8955911720845494808

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item