KITAIFA: BAADA YA HABARI ZA KUIPIGA CHINI TANESCO, UMEME WAKATIKA GHAFLA NCHI NZIMA, WANANCHI WAHOJI
https://jaridahuru.blogspot.com/2014/06/kitaifa-baada-ya-habari-za-kuipiga.html
Hali ya sintofahamu imeikumba nchi ya Tanzania baada ya umeme kudaiwa kukatika kwa nchi nzima, taarifa hizi ambazo sio rasmi zinahusishwa na ukweli kuwa shirika hilo liko katika harakati za kugawa katika mashirika mawili.
Hata hivyo habari zaidi zinadhibitisha kuwa umeme ni kweli umekatika katika maeneo mengi ya nchi ya Tanzania.