jaridahuru

Mitandao

BREAKING NEWS: SOKO LA KARUME ILALA DAR ES SALAAM LINAUNGUA MOTO!!

Dar es Salaam:
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa soko la Karume linaungua moto. 

Moto bado ni mkali, unazidii kusambaa na sasa unaelekea Breweries. Usipothibitiwa Mapema utaleta athari kubwa sana.
Hali bado ni tete, Fire walifika katika eneo la tukio na sasa wanaondoka bada ya kukubali kushindwa, hakuna wanachoweza kuokoa.

Nguzo za umeme zinaungua pia. 

Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana, tutazidi kukujuza kwa kadri habari zitakavyotufikia

Related

Habari Kuu 4543555760798676794

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item