TAFAKARI YA LEO: ZABURI 138:8. BWANA ATATIMIZA AHADI ZAKE KWAKO MAANA FADHILI ZAKE NI ZA MILELE
https://jaridahuru.blogspot.com/2014/06/tafakari-ya-leo-zaburi-1388-bwana.html
Mungu ana kusudi na mpango kwa kila moja ya maisha yetu. Jambo kubwa tunaloweza kufanya ni kupata kusudi hilo na kuishi kulingana nalo.
Tunaweza kumwamini kusudi lake kwa ajili yetu kwa sababu ni misingi ya busara na upendo wake. Tutakapotafuta mapenzi yake, hatuwezi kufanya kitu chochote ambacho kinaweza hatimaye kuharibu kusudi lake kwa ajili yetu.
Tunaweza kwa wakati mmoja kupotea kutoka katika kusudi lake, lakini kamwe hawezi kutuacha tupotee ili mradi hatumuachi na pia tunakumbuka kuwa kamwe hawezi kutuacha, atatutumia kwa makusudi yake.
Maombi yangu ...
"Ee Mungu, nisaidie kutambua nini kusudi la maisha yangu na nia ya kutimiza mpango wako. Asante kwa upendo wako kwangu na ahadi ya kutembea pamoja nami katika kila hatua ya maisha yangu.
"Ee Mungu, nisaidie kutambua nini kusudi la maisha yangu na nia ya kutimiza mpango wako. Asante kwa upendo wako kwangu na ahadi ya kutembea pamoja nami katika kila hatua ya maisha yangu.
Naishi nikiamini kwamba kamwe huwezi kuniacha na sina nia ya kukuacha wewe. Kwa jina la Mwana wako mwaminifu, Yesu, mimi naomba. Amina."