jaridahuru

Mitandao

TECHNOLOJIA: Ongeza maisha ya betri ya simu yako.


Naamini wote tumewahi kukukumbana na kero za kuishiwa charge kwenye smart phone zetu, iwe HTC, Blackberry, HTC, Samsung au Huawei, hii inakera sana hasa pale unapotaka kum "whatsapp", "Viber", "BBM", "Inbox","Tweet" au kumpigia simu mtu oh! labda kum Inta! ni kero kero kero!!

Zama za simu zetu za tochi, enzi tunacharge simu vibadani, tulikuwa tunacharge simu hadi iwe "FULL" yaani ijae, na tulikuwa tunatumia simu hadi iishe yaani "Empty" je simu yako ilikuwa inatunza charge kwa muda gani? Kumbe! Betri ni zile zile za Lithium-ion na za sasa ni bora zaidi ya zile za awali! Unabisha? soma standby time za betri ya simu yako utakubaliana na mimi.

Well, tuingie katika sehemu yenyewe, katika makala ilioyoandikwa na cnntech inasema kuwa mtu anapo charge simu hadi ikachajaa "Fully Charged" na kuitumia hadi inapoisha pasipo kuiongeza charge au kuiboost ni nyenzo moja kuu ya kuongeza maisha ya betri ya simu hiyo.

Hata hivyo pia jarida hilo linasema kuwa ni vyema kuielewa vizuri simu yako na kuhakikisha kuwa wanazi simamisha 'processes' zote ambazo sio za lazima. Liliendelea kusema kuwa pia ni vyema kufungua programu zinazo onesha utendaji kazi wa processor ya simu yako.

Pia kuna programu za simu mahsusi kwa ajili ya kusaidia katika kuzizima processes ambazo hazitumiki pale simu yako inapokuwa haihizitaji. baadhi ya programu hizo ni;
  1. Autorun Manager
  2. Juice Defender
  3. GoBattery Saver
  4. Battery Defender


Related

Technolojia 3634932515347385341

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item