jaridahuru

Mitandao

KIMATAIFA: KIONGOZI WA KUNDI LA MUNGIKI KENYA 'MAINA NJENGA' AMESHAMBULIWA KWA RISASI


NYAHURURU, Kenya. Aliyekuwa Kiongozi wa kundi la Mungiki lilowauwa na kuwachinja wananchi wa Kenya katika vurugu za baada ya uchaguzi Kenya, Maina Njenga, ameshambuliwa kwa risasi huko Kenya.

Njenga aliyekuwa katika msafara wa magari mawili alishambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana wakiwa katika gari dogo. Watu hao waliyashambulia magari yaliyokuwa katika msafara huo na hadi sasa imefahamika kuwa watu watano (5) waliokuwa katika gari moja na Njenga wamefariki.

Njenga amekimbizwa katika Hospitali ya Agha-Khan ya Nyahururu na wawili waliokuwa katika gari lingine wameumizwa vibaya na wamepelekwa katika hospitali ya Wilaya ya Nyahururu.

 

Related

Kimataifa 6101327949779992271

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item