jaridahuru

Mitandao

SIASA: HII HAPA RATIBA YA UKAWA KUZUNGUKA NCHI NZIMA KUANZIA 14 - 27 MAY 2014


Umoja wa katiba ya wananchi wameandaa ziara kuzunguka mikoa mbali mbali ya Tanzania bara na ifuatayo ni ratiba kamili ya ziara hiyo ambayo itaanza tarehe 14/05/2014 hadi 27/05/2014.

Pekua (Download pdf) au soma hapa chini


"UKAWA INAANZA TANZANIA BARA" RATIBA YA ZIARA YA AWAMU YA

KWANZA YA UKAWA, TAREHE 14 – 27 MEI 2014.

 TIMU “A”- KANDA YA KATI

1. Mhe. Mosena Nyambabe (NCCR) – Katibu Mkuu,

2. Mhe. Ashura Mustapha (CUF) – Mjumbe wa Baraza Kuu,

 3. John Heche (CHADEMA) – Mwenyekiti wa Vijana Taifa,

 14/05/2014 MOROGORO MJINI

16/05/2014 SHINYANGA MJINI

17/05/2014 BARIADI MJINI

18/05/2014 NZEGA MJINI

19/05/2014 TABORA MJINI

 20/05/2014 URAMBO

22/05/2014 NGURUKA

 23/05/2014 KIGOMA MJINI

24/05/2014 MNANILA

25/05/2014 KASULU MJINI

26/05/2014 KASULU VIJIJINI

27/05/2014 KIBONDO MJINI

TIMU “B” – KANDA YA KASKAZINI

1. Dr Willibroad Slaa(CHADEMA) – Katibu Mkuu,

2. Mhe. Mustapha Wandwi (CUF) – Mjumbe wa Baraza Kuu,

3. Ahmed Msabaha (NCCR) – Mjumbe wa Halmashauri Kuu,

 TAREHE ENEO LA MKUTANO

14/05/2014 MOSHI MJINI

 15/05/2014 BABATI MJINI

16/05/2014 ARUSHA MJINI

18/05/2014 MUSOMA MJINI

19/05/2014 TARIME MJINI

 20/05/2014 BUNDA MJINI

21/05/2014 BIHARAMULO MJINI

22/05/2014 BUKOBA MJINI

23/05/2014 KARAGWE MJINI

 24/05/2014 NGARA MJINI

25/05/2014 KATORO

 26/05/2014 GEITA MJINI

TIMU “C” – NYANDA ZA JUU KUSINI

1. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba(CUF) – Mwenyekiti,

 2. Mhe. Said Issa (CHADEMA) – Makamu Mwenyekiti Taifa,

 3. Martin Juju Danda(NCCR) – Mjumbe wa Halmashauri Kuu,

TAREHE ENEO LA MKUTANO

15/05/2014 IRINGA MJINI

16/05/2014 MAFINGA

17/05/2014 MAKAMBAKO MJINI

18/05/2014 NJOMBE MJINI

19/05/2014 SONGEA MJINI

20/05/2014 MBINGA MJINI

22/05/2014 MBEYA MJINI

23/05/2014 MOMBA

24/05/2014 SUMBAWANGA MJINI

25/05/2014 NAMANYERE

26/05/2014 KATAVI MPANDA - MULELE (MAJIMOTO)

27/05/2014 MPANDA MJINI

 Wananchi wa maeneo yote yaliyotajwa mjiandae na awamu ya kwanza ya ziara hii. Awamu ya

pili itaendelea mwezi Juni na ziara za wabunge walioko bungeni mtatangaziwa. J. Mtatiro,

Related

Siasa 5751590752319427078

Post a Comment

emo-but-icon

Wadhamini

UJUMBE

JH Katika Facebook

Nyayo zetu twitter

Za Juu

Mitandao

Piga Kura

Je ungependa Tanzania iwe na serikali ngapi?
  
pollcode.com free polls 

ADVERTISEMENTS

Msimamo wa ligi mbalimbali

Football results provided by whatsthescore.com

Mechi Live

Walioko Hewani Kwa Sasa

item